Categories
tz

TZ

? Furaha, furaha, afya: 1. Amani ya ndani. 2. Kupata kuridhika kutokana na kusaidia na kuwa tegemeo kwa Wengine. Mahusiano. 12R.tv❌✅ Nakutakia Wewe, Mimi na Wengine kwamba mwisho wa mwaka ujao, kila mmoja Wetu aseme: “2022 ulikuwa mwaka bora zaidi wa maisha yangu ??”. Marcin Ellwart

Furaha

Furaha ni mojawapo kati ya maono ya msingi, pamoja na pendo, hamu, chuki, hofu, huzuni na hasira. Furaha inapatikana pale ambapo umepata kile ulichokipenda na ulichokuwa na hamu nacho.

Neno hili tunaweza kutumia katika hali tofautitofauti. Wapo ambao watalitumia kama jina ila wengine ni hali ya kuwa na amani juu ya ufanyaji wa tendo fulani kwa kuwa hauwezi ukafanya kitu kwa furaha bila ya kuridhia mwenyewe au kuwa na amani nacho. Kwa kufanya hivyo unaweza ukafanya vibaya na kuharibu kabisa. Lakini kama umeridhia nacho, unaweza kufanya kitu hicho kwa umakini na kwa usahihi na unaweza kupendezwa nacho mwenyewe. Kwa mantiki hiyo basi tunaona kwamba katika maisha yetu ya kila siku si vyema kumlazimisha mtu mwingine afanye jambo ambalo hayuko tayari nalo kwa sababu anaweza akafanya kinyume kabisa na unavyotaka na kukusababishia matatizo mengine.

Makala bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari.

Wikipedia.org:

https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Furaha

Kiswahili

Kiswahili ni lugha ya Kibantu yenye misamiati mingi ya Kiarabu (30%), lakini sasa ya Kiingereza pia (10%), inayozungumzwa katika eneo kubwa la Afrika ya Mashariki.

Lugha hii ina utajiri mkubwa wa misamiati, misemo, methali, mashairi, mafumbo, vitendawili na nyimbo. Kiswahili hutumika kufundishia shuleni na kuna vitabu vingi vilivyotungwa kwa kutumia lugha hiyo, vikiwa pamoja na vile vya hadithi, hekaya au riwaya.

https://sw.m.wikipedia.org/wiki/Kiswahili

12r.tv – 12r.tv/tz

Toa Jibu

Barua-pepe haitachapishwa. Fildi za lazima zimetiwa alama ya *